Habari za Punde

TUJIKUMBUSHE WIMBO WA TAIFA TUKIKARIBIA SIKU YA KURA YA MAONI



Kuna mdau yeyote anaeweza kutupa data lini hasa wimbo huu ulianza kutumika na ikiwezekana mtunzi wake?

Kwa sababu kabla ya wimbo huu kutumika kulikuwa na wimbo wa taifa wa kisultani ambao ulikoma kupigwa mwaka 1964 lakini hadi leo ukienda you tube ndio unaotambulishwa kwamba ndio wimbo wa taifa wa Zanzibar. Angalia video hapa chini


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.