Kuna mdau yeyote anaeweza kutupa data lini hasa wimbo huu ulianza kutumika na ikiwezekana mtunzi wake?
Kwa sababu kabla ya wimbo huu kutumika kulikuwa na wimbo wa taifa wa kisultani ambao ulikoma kupigwa mwaka 1964 lakini hadi leo ukienda you tube ndio unaotambulishwa kwamba ndio wimbo wa taifa wa Zanzibar. Angalia video hapa chini
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment