Kuna mdau yeyote anaeweza kutupa data lini hasa wimbo huu ulianza kutumika na ikiwezekana mtunzi wake?
Kwa sababu kabla ya wimbo huu kutumika kulikuwa na wimbo wa taifa wa kisultani ambao ulikoma kupigwa mwaka 1964 lakini hadi leo ukienda you tube ndio unaotambulishwa kwamba ndio wimbo wa taifa wa Zanzibar. Angalia video hapa chini
FORLAND YAKUBALIANA NA RUVUMA, LINDI KUHUSU UHIFADHI WA MISITU
-
SERIKALI ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na serikali ya
Finland zimesaini hati ya makubaliano ya kikanda [MoU] chini ya Mradi wa
Maende...
38 minutes ago
0 Comments