Kuna mdau yeyote anaeweza kutupa data lini hasa wimbo huu ulianza kutumika na ikiwezekana mtunzi wake?
Kwa sababu kabla ya wimbo huu kutumika kulikuwa na wimbo wa taifa wa kisultani ambao ulikoma kupigwa mwaka 1964 lakini hadi leo ukienda you tube ndio unaotambulishwa kwamba ndio wimbo wa taifa wa Zanzibar. Angalia video hapa chini
MARRY CHATANDA :SERIKALI CHINI YA DK SAMIA IMEITEKELEZA VEMA ILANI 2020-2025
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MRATIBU wa Uchaguzi Mkuu Mkoa wa Dar es Salaam Marry Chatanda amesema
Serikali inayoongozwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan i...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment