Kuna mdau yeyote anaeweza kutupa data lini hasa wimbo huu ulianza kutumika na ikiwezekana mtunzi wake?
Kwa sababu kabla ya wimbo huu kutumika kulikuwa na wimbo wa taifa wa kisultani ambao ulikoma kupigwa mwaka 1964 lakini hadi leo ukienda you tube ndio unaotambulishwa kwamba ndio wimbo wa taifa wa Zanzibar. Angalia video hapa chini
MADINI YA ALMASI YENYE THAMANI YA TSH 1.7 BILIONI YAKAMATWA YAKITOROSHWA
UWANJA WA NDEGE MWANZA
-
▪️Waziri Mavunde awapongeza RC Mtanda,Kamati ya Usalama,Uwanja wa Ndege na
Kikosi kazi Madini
▪️Aelekeza uchunguzi zaidi kubaini mtandao wote wa wahusik...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment