Habari za Punde

WENYE DATA TUPATIENI NI WAPI HAPA?


6 comments:

  1. Wacha nibahatishe kama bado naikumbuka zanzibar, hapa ni eneo la Kikwajuni chini ukikaa kwa juu kutokea uwanja wa Mao Tse Tung na klabu ya kikwajuni kama unaendea msikiti wa kikwajuni juu kwa Bacho.

    ReplyDelete
  2. Umejaribu lakini bado hujaagua. Kumbuka maeneo ya Kikwajuni hayana miti mingi kama kulivyo hapa.

    Thanks for trying

    Mapara

    ReplyDelete
  3. Mzee hiyo ulichukua chakechake Pemba hiyo siku ulikuwa umekaa hotel ya chake nakumbuka mzeee

    ReplyDelete
  4. Ni kweli hapa ni eneo la Chake chake ni upande wa kushoto kama ukiteremka kuelekea Tibirinzi. Lakini panaitwaje? Jee eneo hili lnaitwa Mkungu Malofa au ni upande wa pili ndio kunaitwa hivyo.
    Mdau
    USA

    ReplyDelete
  5. Naam,hapa ni maeneo ya Mkungu Malofa,na hizo skyscrapers uzionazo kwa juu ni
    za mtaa wa biashara wa Misufini.

    ReplyDelete
  6. Ni sawa wakuu, hapa ni Mkungu Malofa na picha hii ilipigwa kutokea Hoteli ya Chake chake.

    Tunawashukuru wote ambao kumbukumbu zenu bado ziko fit.

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.