Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mohammed Gharib Bilali, akisalimiana na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, katika sherehe za miaka 49 ya Uhuru ziliofanyika jana uwanja wa uhuru Jijini Dar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein,akisalimiana na Rais Mstaafu wa Tanzania Mhe.Benjamin Willium Mkapa, katika sherehe za miaka 49 ya Uhuru ziliofanyika jana uwanja wa uhuru Jijini Dar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk Shein akisalimiana na Mkuu wa majeshi Tanzania Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Jakaya Mrisho Kikwete, akiwasalimia wananchi waliohudhuria sherehe za Miaka 49 ya Uhuru , zilizofanyika jana Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam
Vikosi mbali mbali vya Ulinzi na Usalama vya Jeshi,Polisi,JKT,Mafunzo na Wanamaji wakipita mbele ya Rais wa Jakaya Mrisho Kikwete na kutoa salamu ya Heshima kwa Gwaride katika kushereheka miaka 49 ya Uhuru
Vijana wa Halaiki wakicheza halaiki kwa maamkizi kwa wageni waliohudhuria katika sherehe za miaka 46 ya Uhuru,zilizofanyika jana,Uwanja wa Uhuru, Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk Jakaya Mrisho Kikwete,akikagua Gwaride rasmi la majeshi ya Ulinzi,wakati wa sherehe za miaka 49 ya Uhuru wa TanganyikaNdege za Jeshi la wananchi zikipita angani kusalimia,katika sherehe za Uhuru kutimia miaka 49 uwanja wa Uhuru Jijini Dar.
Wananchi waliohudhuria sherehe za Uhuru
Picha na Ramadhan Othman, Ikulu
uhuru wa watanganyika siyo tanzania bara unatafua ugovi na mtikila na watanganyika wenye uchungu na nchi yao wengi ni mafisadi hawapendi kuitwa watanganyika kwasababu ya ujinga wao
ReplyDelete