JAMANI hii ni haki kwa mnyama huyu anayetumiwa kukokota gari na kuwekwa mzigo na wenye mzigo kumpanda bila ya kujali haki za Wanyama, wakiwa wamestarehe wakiendelea na safari yao wakiwa katika barabara ya Kwalamsha
Hata nasi tukiwezeshwa tunaweza si lazima mtuwekee maji kwenye beseni au tunywe chini tunaweza kunywa kwenye mfereji ati. Au mnasemaje?
CHAN 2024 : Dar Kuzizima Ufunguzi wa CHAN24
-
Na Rahel Pallangyo
ARDHI ya Tanzania kwenye mji wenye pilikapilika, Dar es Salaam Agosti 2,
mwaka huu katika Uwanja wa Benjamin Mkapa utashuhudiwa uf...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment