HII ni moja ya Maskani katika kijiji cha Chokocho, Kisiwani Pemba inayoitwa Umoja wa Mataifa ikipeperusha bendera za Vyama mbalimbali katika maskani hiyo kukiwa na Bendera ya CCM, CUF, NRA , CHADEMA na kadhalika
Ni mfano mzuri kufikiriwa na maskani nyingi zilizopo kuonesha ukomavu wa kisiasa kama walivyotufundisha wanachokocho.
Dkt. Mwinyi Aagiza Elimu ya Branding Kuwafikia Watanzania Wote
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dkt.Hussein Ali
Mwinyi, amesema kuwa katika kipindi hiki cha mabadiliko, Serikali
inaendelea kufany...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment