MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI UWEKAJI JIWE LA MSINGI LA UKARABATI MKUBWA WA RELI
YA TAZARA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi amesema ukarabati wa reli ya TAZARA utaimarisha Ukanda wa Kati na
Kusi...
11 hours ago

Asalam aleykum kaka mapara hapo ni kwa boni shangani zamani pia kwa pembeni ni ofisi ya wakina Abdi Mrope mtoto wa marehemu Ali mzee
ReplyDeleteTIP TIP HOUSE
ReplyDeleteJengo hilo liko hapo Shangani na mpaka sasa inaitwa Tipu Tip House. Jengo ina historia lakini kama halitashugulikiwa, basi intaondoka na maji.
ReplyDeleteNarendra Gajjar
Calgary
Canada.
Wenyeji wa Shangani utawajua tu. Inaonekana wako wengi ughaibuni. Haya mmepatia
ReplyDeleteHahahaa, haswa huyo Narendra Gajjar, mtoto wa shangani pyua huyo. Juzi juzi alikuja kututaka hali Daily News alikokuwa anafanya kazi miaka ya nyuma. picha nyingi za 'from our files' ni za kwake. Kwao nyuma ya benki ya NBC ya hapo Shangani. Nimefurahi karekebishia kuwa sio 'tip top' bali ni 'tipu tip' yule wa kwenye historia. Mapara hongera kwa kazi njema. Kaza buti. Wafadhili wameshaanza kukutupia jicho kaka
ReplyDelete