MOJA ya futari zinazopendwa katika visiwa vya Zanzibar maboga yakiwa katika soko la Mwanakwerekwe kwa ajili ya matumizi ya futari boga moja sokoni hapo linauzwa shilingi 1500/= na 3000/=
KUKATA MITI KARIBU NA MIUNDOMBINU YA UMEME NI HATARI -NJIRO
-
Afisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja TANESCO Mkoa wa Ruvuma Alan Njiro,
amewataka wananchi kuacha kabisa tabia ya kukata miti au kufanya shughuli
zozote k...
6 minutes ago
0 Comments