MOJA ya futari zinazopendwa katika visiwa vya Zanzibar maboga yakiwa katika soko la Mwanakwerekwe kwa ajili ya matumizi ya futari boga moja sokoni hapo linauzwa shilingi 1500/= na 3000/=
WAKILI MPANJU AWATAKA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII KAGERA KUSHIRIKIANA NA
WADAU KATIKA KULETA MAENDELEO
-
Na Silivia Amandius -Kagera RS
Naibu Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na
Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju, amewata...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment