MOJA ya futari zinazopendwa katika visiwa vya Zanzibar maboga yakiwa katika soko la Mwanakwerekwe kwa ajili ya matumizi ya futari boga moja sokoni hapo linauzwa shilingi 1500/= na 3000/=
HALMASHAURI YA BAGAMOYO YAHITAJI MADAWATI 7,000 KATIKA SHULE ZA MSINGI NA
SEKONDARI- DED SELENDA
-
Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo
HALMASHAURI ya wilaya ya Bagamoyo, Mkoani Pwani inakabiliwa na changamoto
ya upungufu wa madawati 7,000 katika shule ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment