WAFANYAKAZI wa Idara ya Utunzaji wa Barabara Zanzibar wakifanya ukarabati wa Barabara ya Biziredi ili kuweka lami katika sehemu ilioharibika ikiwa ni moja ya kuimarisha miundombinu ya Barabara.
SERIKALI YAHIMIZA MATUMIZI YA VYAKULA VYA ASILI KUIMARISHA AFYA NA KUZUIA
MAGONJWA
-
Na Elimu ya Afya kwa Umma
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imewahimiza Watanzania kurejea katika
matumizi ya vyakula vya asili kama sehemu muhimu ya kuje...
1 hour ago
0 Comments