Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Wawi (CUF) Hamad Rashid, wakati walipokutana nyumbani kwa Makamu mjini Dodoma hivi karibuni. Katikati ni Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
TAFORI YAPANDA MITI YA ASILI KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA KATIKA KAMPENI YA 27
YA KIJANI
-
Farida Mangube, Morogoro
Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) leo Januari 27, 2026
imeshiriki Kampeni ya Kitaifa ya Upandaji Miti #27Yakijani ...
49 minutes ago

0 Comments