CEO wa Kampuni ya Swissport Tanzania Ltd  Guidence Temc akitowa shukrani kwa Wadau wao baada ya kupata futari ilioandaliwa nsa Kampuni hiyo katika Hoteli ya Serena Shangani Zanzibar.  
 CEO. Guidence Teme  wa Kampuni inayotoa huduma uwanja wa Ndege wa Kimataifa Zanzibar SwissPort Tanzania Ltd. akijumuika nsa Waumini wa dini ya Kiislam katika futari iliyoandaliwa na kampuni hiyo kwa wadau wake katika Hoteli ya Serena Shangani jana. 
 WAALIKWA katika futari iliondaliwa na Kampuni ya Swissport  wakiwa katika futari hiyo iliyoandaliwa kwa ajili yao katika Hoteli ya Serena. 
 Mambo ya  futari hayo  yalioandaliwa na Swissport  hoteli ya Serena.
 MWAKILISHI wa Kampuni ya Swissport Zanzibar Nassor Mwinyi  akijumuka na  Wadau wao  katika futari ilioandaliwa na Kampuni yake.
<
MDAU  Mwantanga  akijipatia dessert baada ya kupata futari 

No comments:
Post a Comment