Hili ni eneo la Kama ambapo yamechimbwa makaburi waliyolazwa mashahidi waliofariki katika ajali ya Mv Spice Islander. Serikali imeamua kuwazika maiti wote waliopatikana katika eneo hili.
WAZIRI KOMBO APOKEA MAGARI KUTOKA QATAR
-
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imepokea magari
mawili aina ya Land Cruiser Prado kutoka Taifa la Qatar kwa ajili ya
kuhudumia ...
2 Comments
Serikali pia ijenge mnara,au alama yoyote katika eneo hili iwe ni kumbukumbu kwa vizazi vijavyo.
ReplyDeleteEh, bwana kweli! lkn.kwa jamii kama yetu ya kihafidhina lazma watu wataihusisha na imani ya dini nyingine.
ReplyDelete