Hili ni eneo la Kama ambapo yamechimbwa makaburi waliyolazwa mashahidi waliofariki katika ajali ya Mv Spice Islander. Serikali imeamua kuwazika maiti wote waliopatikana katika eneo hili.
HATUA ZA DHARURA ZAENDELEA KUCHUKULIWA NA TANROADS MOROGORO KUREJESHA
MIUNDOMBINU
-
Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Morogoro imewataka Wananchi
wa Mkoa huo kuwa watulivi wakati Serikali ikiendelea kuchukuwa hatua za
dharur...
1 hour ago
Serikali pia ijenge mnara,au alama yoyote katika eneo hili iwe ni kumbukumbu kwa vizazi vijavyo.
ReplyDeleteEh, bwana kweli! lkn.kwa jamii kama yetu ya kihafidhina lazma watu wataihusisha na imani ya dini nyingine.
ReplyDelete