Kwa Habari, Picha na Matukio Tembelea ZanziNews
Tangaza nasi kwa bei nafuu (advertise with us ). Tupigie 0777 424152 au tuandikie (email) othmanmaulid@gmail.com
Hili ni eneo la Kama ambapo yamechimbwa makaburi waliyolazwa mashahidi waliofariki katika ajali ya Mv Spice Islander. Serikali imeamua kuwazika maiti wote waliopatikana katika eneo hili.
Serikali pia ijenge mnara,au alama yoyote katika eneo hili iwe ni kumbukumbu kwa vizazi vijavyo.
ReplyDeleteEh, bwana kweli! lkn.kwa jamii kama yetu ya kihafidhina lazma watu wataihusisha na imani ya dini nyingine.
ReplyDelete