Habari za Punde

USHINDI WA AHMADA OLIMPIKI MAALUM NI HESHIMA KWA ZANZIBAR

. 
MWANAMICHEZO Ahmed Bakar Khamis (16), akimkabidhi Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Abdillahi Jihad Hassan kwa niaba ya Rais Dk. Ali Mohamed Shein medali ya dhahabu ambayo aliipata katika mashindano ya Olimpiki Maalum kwa Watu Wenye Ulemavu yaliyofanyika Athens, Ugiriki akiiwakilisha timu ya Taifa Tanzania. Hafla hiyo ilifanyika jana katika ukumbi wa Wizara ya Habari, Mnazimmoja

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.