Mfanyakazi wa Baraza la Manispa Zanzibar akiwa katika kizuizi cha geti kuzuiya gari kuingia kupaki katika eneo la mkunazini inabidi kuegesha magari katika eneo hilo ni shilingi 500/= ili kupunguza msongamano wa magari katika eneo hilo la mkunazini.
KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment