Mfanyakazi wa Baraza la Manispa Zanzibar akiwa katika kizuizi cha geti kuzuiya gari kuingia kupaki katika eneo la mkunazini inabidi kuegesha magari katika eneo hilo ni shilingi 500/= ili kupunguza msongamano wa magari katika eneo hilo la mkunazini.
Waandishi wanaogombea ubunge, udiwani wapigwa pini, watakiwa kujiondoa
vyumba vya habari
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025,
Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment