Mfanyakazi wa Baraza la Manispa Zanzibar akiwa katika kizuizi cha geti kuzuiya gari kuingia kupaki katika eneo la mkunazini inabidi kuegesha magari katika eneo hilo ni shilingi 500/= ili kupunguza msongamano wa magari katika eneo hilo la mkunazini.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
M...
23 hours ago

No comments:
Post a Comment