Mfanyakazi wa Baraza la Manispa Zanzibar akiwa katika kizuizi cha geti kuzuiya gari kuingia kupaki katika eneo la mkunazini inabidi kuegesha magari katika eneo hilo ni shilingi 500/= ili kupunguza msongamano wa magari katika eneo hilo la mkunazini.
Habari : Rais Samia Awataka Watanzania kuwa Wazalendo, Wakajiandikishe
-
Na Janeth Raphael MichuziTv - Chamwino Dodoma
RAIS wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan ameboresha taarifa zake za mpiga kura
katika Kijiji Chamwino Ikulu, h...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment