Mdau mambo ya usafiri wa kutumia gari ya punda ndani ya Mji Mkongwe, Usafiri huu wa kutumia wanyama umepingwa mararufuku katika maeneo ya mjimkongwe, lakini bado kuna baadhi ya watoa huduma hii huingia katika maeneo ya mjini bila ya kuwa na wasiwasi kama alivyokutwa punda huyu akiwa katika mtaa wa Mkunazini akisubiri kushusha mzigo huo wa majengo na saruji.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa
Amrepokea Tuzo ya Kuendeleza Ufugaji Nyuki Nchini. Watanzania Tuendelee
Kumtunza Mdudu Nyuki
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizundua Mpango wa Kuendeleza Sekta ya
Ufugaji Nyuki kwa Tanzania iliyo Bora katika Maadhimisho ya Siku ya Nyuki
Duniani kw...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment