Mdau mambo ya usafiri wa kutumia gari ya punda ndani ya Mji Mkongwe, Usafiri huu wa kutumia wanyama umepingwa mararufuku katika maeneo ya mjimkongwe, lakini bado kuna baadhi ya watoa huduma hii huingia katika maeneo ya mjini bila ya kuwa na wasiwasi kama alivyokutwa punda huyu akiwa katika mtaa wa Mkunazini akisubiri kushusha mzigo huo wa majengo na saruji.
KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment