Mdau mambo ya usafiri wa kutumia gari ya punda ndani ya Mji Mkongwe, Usafiri huu wa kutumia wanyama umepingwa mararufuku katika maeneo ya mjimkongwe, lakini bado kuna baadhi ya watoa huduma hii huingia katika maeneo ya mjini bila ya kuwa na wasiwasi kama alivyokutwa punda huyu akiwa katika mtaa wa Mkunazini akisubiri kushusha mzigo huo wa majengo na saruji.
WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali
wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment