Wafanyabiashara darajani Vikokotoni wakiondoa mabati baada ya kuamriwa na Baraza la Manispaa kuondoa biashara zao katika eneo hilo mbele ya Skuli ya Vikokotoni.
Wafanyabiashara wa Jua Kali wakiwa wamepingwa na butwaa kuona eneo lao likiwa safi na kuamriwa kuondoka katika eneo hilo kufanya biashara mbele ya skuli ya Vikokotoni, awali Wafanyabiashara w Jua Kali tayari walikuwa wameshahamishiwa eneo la Saateni ilio kufanyiabiashra . Lakini bado wamekuwa wakifanya biashara zao katika eneo hilo na kuwa bughudha kwa Wanafunzi wa Skuli ya Vikokotoni wakiwa madarasani na wakati wa kiingia skuli na kutoka kunakuwa na msongamano wa bidhaa katika eneo hilo.
No comments:
Post a Comment