KAMATI ya Mawasiliano na Ujenzi ya Baraza
la Wawakilishi ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mwakilishi wa la Jimbo la Kojani
Hassan Hamad Omar mwenye suti kushoto akitoa maelezo baada ya kupewa taarifa ya
ujenzi ya ujenzi mnara wa kampuni ya simu ya Zantel, kutoka kwa Meneja wa wa
Uwanja wa Ndege Pemba Amour Mussa kulia, katika Kijiji cha Furaha karibu na
uwanja wa ndege wa Karume Pemba, ambapo ujenzi huo ulitolewa kibali na Mamlaka
ya Mawasiliano ya Anga Tanzania (TCAA) umetajwa kuwa unaweza kusababisha athari
wakati wa kutua na kuruka kwa ndege. (picha
na Haji Nassor, Pemba )
Mafundi ambao hawakupatikana majina yao,
wakiwa katika harakati za ujenzi wa mnara wa kampuni ya simu ya mkononi ya
Zantel huko kijiji cha Furaha Wilaya ya Chake chake mita chache kutoka uwanja
wa ndege wa Karume Pemba, ambapo ujenzi huo unalalamikiwa vikali na uongozi wa
uwanja wa ndege na ‘mapilot’ wakisema unaweza kuleta athari wakati wa utuwaji
na urukaji wa ndege (picha na Haji
Nassor, Pemba)
No comments:
Post a Comment