Habari za Punde

Watu wasiojulikana Usiku wa Leo Wameitia Moto Maskani ya Kachorora.





 Askari wa Kikosi za Zimamoto Zanzibar wakiwa katika zoezi la kuuzima moto uliokuwa wakiwaka katika maskani ya Kachorora Rahaleo unaosadikiwa kutiwa na watu wasiojulikana usiku wa jana katika maskani hiyo na kusababisha hasara ya mali ya moja ya duka la kutengeneza makochi katika maskani hiyo.





Wananchi wakishughudia moto uliokuwa ukiunguza mali katika maskani ya Kachorora jana usiku.
Mabaki ya Duka la kutengeneza makochi katika maskani hiyo kama inavyoonekana pichani.



Moja ya Uharibifu uliotokea katika maskani hiyo

 Wananchi wakjiangali jengo la maskani ya Kachorora Rahaleo leo asubuhi baada ya sehemu yake kuunguwa kwa moto jana usiku na leo kuipamba maskani hiyo kwa bendera baada ya tukio la jana la kutiwa moto na watu wasiojulikana na kusababisha hasara.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.