Habari za Punde

Balozi Mdogo wa China Zanzibar Akizungumzana Waandishi.

 Balozi mdogo wa China Zanzibar  Chen Quiman akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar  hawapo pichani Ofisi kwake Mazizini Zanzibar kuhusiana na  Mipango ya Serikali ya China kuisaidia Zanzibar katika nyanja mbalimbali za maendeleo  na Afrika kwa ujumla.

 Mwandishi wa gazeti la Dailynews  Issa akiuliza swali katika mkutano huo wa Balozi mdogo wa China Madam Chen Quiman alipokuwa akizungumza na Waandishi wa habari Ofisi kwake Mazizini Zanzibar kuhusu Mipango ya Serikali ya China kuisaidia Zanzibar na Afrika kwa ujumla
Baadhi ya Waandishi wa Habari waliokuwepo katika Mkutano wa Balozi mdogo wa China Madam Chen Quiman alipokuwa akizungumza nao Ofisi kwake Mazizini Zanzibar kuhusu Mipango ya Serikali ya China kuisaidia Zanzibar na Afrika kwa ujumla

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.