Mwakilishi wa Zantel Zanzibar ambae ni mkurugenzi wa Biashara, Bw Mohammed Mussa akikabidhiwa cheti cha mlipa kodi bora na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na mipango Omar Yussuf Mzee.
Mwakilishi wa Zantel Zanzibar Bw Mohammed Mussa akipeana mkono na Naibu kamishna wa TRA Zanzibar Bw Mcha baada ya kukabidhiwa cheti cha mlipaji bora wa kodi kwa Zanzibar.
Iramba waishukuru Benki ya CRDB kujenga Kituo cha Afya Mukulu
-
Iramba: Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Mheshimiwa Suleiman Mwenda ameishukuru
Benki ya CRDB kwa kukamilisha ujenzi wa Kituo cha Afya Mukulu akisema
kitasaidia ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment