WASHIRIKI wa mkutano
mkuu wa tano wa ushirikiano baina ya Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI na Ofisi ya
Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, uliofanyika hoteli ya
Wesha Chake chake Pemba, wakifuatilia na kusikiliza kwa makini mada mbali mbali
zilizokuwa zikiwasilishwa
KATIBU Mkuu Ofisi ya
Rais Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Salim Maulid Salim akitoa
maelezo mafupi kwenye mkutano wa tano wa ushirikiano baina ya Ofisi ya Waziri
Mkuu TAMISEMI na Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar uliofanyika hoteli ya Misali Wesha nje kidogo ya
mji wa Chake chake Pemba
WASHIRIKI wa mkutano
mkuu wa tano wa ushirikiano baina ya Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI na Ofisi ya
Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapainduzi Zanzibar, uliofanyika hoteli ya
Wesha Chake chake Pemba, wakifuatilia na kusikiliza kwa makini mada mbali mbali
zilizokuwa zikiwasilishwa
WASHIRIKI wa mkutano
mkuu wa tano wa ushirikiano baina ya Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI na Ofisi ya
Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, uliofanyika hoteli ya
Wesha Chake chake Pemba, wakifuatilia na kusikiliza kwa makini mada mbali mbali
zilizokuwa zikiwasilishwa
WAZIRI wa Nchi Ofisi
ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar dk Mwinyihaji Makame
Mwadini akizungumza katika ufuguzi wa mkutano wa tano wa ushirikiano baina ya
Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI na Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Zanzibar uliofanyika hoteli ya Wesha Chake chake Pemba
NAIBU Waziri wa Nchi
Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) Agrey Mwanri, akitoa salamu kutoka kwa ofisi ya
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mara baada ya ufuguzi wa
mkutano wa tano wa ushirikiano baina ya Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI na Ofisi
ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, uliofanyika hoteli ya
Wesha Chake chake Pemba
NAIBU Waziri wa
Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) anaeshughulikia Elimu, Kassim Majaaliwa
akisalimiana na wajumbe wa mkutano wa ushirikiano baina ya Ofisi ya Waziri
Mkuu- TAMISEMI na Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar,
uliofanyika hoteli ya Wesha Chake chake Pemba
(Picha zote na Haji Nassor, Pemba )
No comments:
Post a Comment