Habari za Punde

Balozi Seif Ali Iddi Akutana na Uongozi wa Tasaf Taifa


 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Uongozi wa Juu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania Tasaf hapo Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar

 Mkurugenzi Mkuu wa Tasaf Tanzania Bwana ladislausd Mwamanga akitoa ufafanuzi wa Hataua za Tasaf katika Awamu ya Tatu ya Miradi yake mbele ya  Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.