Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisisitiza jambo alipokua akizungumza na Viongozi wa Tawi la CCM Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui,wakiwemo Viongozi wa Jumuiya mbali mbali za Chama hicho katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar jana,Makamo Mwenyekiti alifanya ziara maalum ya kusalimiana na Viongozi hao ikiwa ni pamoja na kuimarisha Chama cha Mapinduzi,(CCM) (kulia) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai.
Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Viongozi wa Tawi la CCM Afissi Kuu ya CCM Kisiwandui,wakiwemo Viongozi wa Jumuiya mbali mbali za Chama hicho katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar jana,Makamo Mwenyekiti alifanya ziara maalum ya kusalimana na
Viongozi hao ikiwa ni pamoja na kuimarisha Chama cha Mapinduzi,(CCM) (kulia) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai,na (kushoto) Mwenyekiti wa Tawi Nadra Juma Mohamed
Viongozi hao ikiwa ni pamoja na kuimarisha Chama cha Mapinduzi,(CCM) (kulia) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai,na (kushoto) Mwenyekiti wa Tawi Nadra Juma Mohamed

No comments:
Post a Comment