Makamu wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na Mwakilishi wa mji mkonge Ismail Jussa baada ya kuwasili uwanja wa ndege a Zanzibar akitokea India alipokwenda kwa ajili ya ukaguzi wa afya yake,
Meya Ahimiza Usafi Jijini Arusha
-
Na Pamela Mollel,Arusha
Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe, ametoa wito wa kuimarisha
ushirikiano kati ya Halmashauri na mawakala wa ukusanyaji wa ...
0 Comments