Nimependa jinsi walivyokipamba kwa Nature (kupanda miti katika miji na bara bara za Visiwani ni muhimu sana. kwani hii ndio inazuia uharibikaji wa mazingira. kisiwani Unguja kumekua na Joto kali sana kama vile Bara. hii nikutokana na kua na watu wengi kupita mpaka na kukatwa kwa miti mingi.
Majengo yanapendeza na mazingira nayo yanavutia. Tunataraji watoto na vijana wetu watakaopata bahati ya kuhudhuria mafunzo katika chuo hicho watapatiwa elimu bora kwa faida yao na taifa kwa ujumla.
DC KASILDA AWATAKA WAHANDISI KUTOKA MAOFISINI
-
NA WILLIUM PAUL, SAME.
MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni amewataka
wahandisi wa Halmashauri kuacha tabia ya kukaa ofisini na bada...
4 Comments
Ahsante kaka..hebu tuletee picha za zanzibar airport kama imemaliza kujengwa...
ReplyDeleteNimependa jinsi walivyokipamba kwa Nature (kupanda miti katika miji na bara bara za Visiwani ni muhimu sana. kwani hii ndio inazuia uharibikaji wa mazingira. kisiwani Unguja kumekua na Joto kali sana kama vile Bara. hii nikutokana na kua na watu wengi kupita mpaka na kukatwa kwa miti mingi.
ReplyDeleteMajengo yanapendeza na mazingira nayo yanavutia. Tunataraji watoto na vijana wetu watakaopata bahati ya kuhudhuria mafunzo katika chuo hicho watapatiwa elimu bora kwa faida yao na taifa kwa ujumla.
ReplyDeleteHongera sana uongozi wa chuo na Zanzibar kwa ujumla
ReplyDelete