WANANCHI WAALIKWA KUFIKA BANDA LA CMSA KATIKA MAONESHO YA SABASABA KUPATA
UELEWA MASUALA YANAYOHUSU MASOKO YA MITAJI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA)imewakaribisha wananchi
wanaofika katika Maonesho ya Biashara ya 49 ya Kimataita y...
2 hours ago
Ahsante kaka..hebu tuletee picha za zanzibar airport kama imemaliza kujengwa...
ReplyDeleteNimependa jinsi walivyokipamba kwa Nature (kupanda miti katika miji na bara bara za Visiwani ni muhimu sana. kwani hii ndio inazuia uharibikaji wa mazingira. kisiwani Unguja kumekua na Joto kali sana kama vile Bara. hii nikutokana na kua na watu wengi kupita mpaka na kukatwa kwa miti mingi.
ReplyDeleteMajengo yanapendeza na mazingira nayo yanavutia. Tunataraji watoto na vijana wetu watakaopata bahati ya kuhudhuria mafunzo katika chuo hicho watapatiwa elimu bora kwa faida yao na taifa kwa ujumla.
ReplyDeleteHongera sana uongozi wa chuo na Zanzibar kwa ujumla
ReplyDelete