Habari za Punde

Maziko ya Haji Mohammed katika Kijiji cha Shakani Zanzibar.


Waumini wa Dini ya Kiislam wakisoma hitma kumuombea Marehemu Haji Mohammed, katika msikiti wa Nambar Muembetanga asubuhi ya leo kabla ya kusaliwa maiti , ikiongozwa na Shekh. Nurdini.
Waumini wa dini ya Kiislam wakiusalia mwili wa marehemu Haji Mohammed Omar katika Msikiti  Nambar, Muembetanga, 




Wananchi wakiwa katika mstari  wakati wa kubeba jeneza la  marehemu Haji Mohammed, wakati likiwa katika maeneo ya michenzani kwa ajili ya kwenda makaburi katika kijiji cha Shakani kwa ajili ya maziko.







No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.