DCEA YATUMA UJUMBE MZITO KWA WANAOENDLEA KUJIHUSISHA NA BIASHARA YA DAWA ZA
KULEVYA,YATOA KAULI HII…
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA)imetuma ujumbe
kuwaambia wale ambao bado wanaendelea kufanya biashara...
1 hour ago
nd kikwete, unaahidi donge nono kwa wachezaji mpira kwa kushinda , wakati ushindi huo hauleti pato wala mafao kwa watanzania ambao wengi wetu tuna njaa , magonjwa ,mashule yetu duni , kwa nini hilo donge usilipeleke kwenye maeneo kama hayo ? hata kama hizo fedha zinatoka kwenye pato lako binafsi sidhani kama ni akili kutangaza hilo donge kwa mambo ya starehe / anasa
ReplyDelete