Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
awaapisha viongozi mbalimbali Ikulu Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akimuapisha Mhe. Balozi Simon Nyakoro Sirro kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma
kwenye haf...
3 minutes ago
nd kikwete, unaahidi donge nono kwa wachezaji mpira kwa kushinda , wakati ushindi huo hauleti pato wala mafao kwa watanzania ambao wengi wetu tuna njaa , magonjwa ,mashule yetu duni , kwa nini hilo donge usilipeleke kwenye maeneo kama hayo ? hata kama hizo fedha zinatoka kwenye pato lako binafsi sidhani kama ni akili kutangaza hilo donge kwa mambo ya starehe / anasa
ReplyDelete