MANISPAA YA UBUNGO YATENGA MILIONI 28 KWA AJILI UTEKELEZAJI WA PJT-MMMAM
-
NA MWANDISHI WETU
MANISPAA ya Ubungo imetengea bajeti ya fedha zaidi ya Sh milioni 28,000,000
kwa ajili ya utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Malezi, Maku...
12 hours ago
nd kikwete, unaahidi donge nono kwa wachezaji mpira kwa kushinda , wakati ushindi huo hauleti pato wala mafao kwa watanzania ambao wengi wetu tuna njaa , magonjwa ,mashule yetu duni , kwa nini hilo donge usilipeleke kwenye maeneo kama hayo ? hata kama hizo fedha zinatoka kwenye pato lako binafsi sidhani kama ni akili kutangaza hilo donge kwa mambo ya starehe / anasa
ReplyDelete