Mshindi wa shilingi Milioni moja taslimu Khalfan Habib Haji kutoka Kidimni, Pemba akikabidhiwa zawadi yake
Mshindi wa Promosheni ya Zantel Yussuf Khamis Khalfan mkaazi wa Jangombe akipokea zawadi yake ya Vespa aliyokabidhiwa na Mkurugenzi Masoko wa Zantel Mohammed Mussa Baucha
Mshindi wa Promosheni ya Zantel Juma Ali Kitwana mkaazi wa Kikwajuni akipokea zawadi yake ya Huawei Media Pad aliyokabidhiwa na Mkurugenzi Masoko wa Zantel Mohammed Mussa Baucha
Mshindi wa Promosheni ya Zantel Nasra Issa Nassor mkaazi wa Gongoni akipokea zawadi yake ya Modem aliyokabidhiwa na Mkurugenzi Masoko wa Zantel Mohammed Mussa Baucha
Mshindi wa Promosheni ya Zantel Said Khamis Juma mkaazi wa Mombasa akipokea zawadi yake ya Modem aliyokabidhiwa na Mkurugenzi Masoko wa Zantel Mohammed Mussa Baucha
WAZIRI MAVUNDE ATAKA WATANZANIA KUPEWA KIPAUMBELE KUSAMBAZA BIDHAA NA
HUDUMA MIGODINI
-
▪️Aelekeza mabadiliko ya Kanuni ili kuruhusu uhaulishwaji teknolojia kwa
Kampuni za Kigeni
▪️Ataka Watanzania kuchangamkia Trilioni 5.3 za usambazaji bid...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment