Habari za Punde

Hadithi ya leo


 

إِنَّ فِي الْجَنَّةِ بَابًا يُقَالُ لَهُ الرَّيَّانُ يَدْخُلُ مِنْهُ الصَّائِمُونَ يَوْمَ الْقِيَامَةِ لَا يَدْخُلُ مِنْهُ أَحَدٌ غَيْرُهُمْ يُقَالُ أَيْنَ الصَّائِمُونَ فَيَقُومُونَ لَا يَدْخُلُ مِنْهُ أَحَدٌ غَيْرُهُمْ فَإِذَا دَخَلُوا أُغْلِقَ فَلَمْ يَدْخُلْ مِنْهُ أَحَدٌ )
البخاري  ومسلم) .

Amesema Mtume Swalla Allaahu ‘Alayhi Wasallam

'Hakika peponi kuna mlango unaitwa Rayyaan humo wanaingia waliofunga tu siku ya Kiama. Hawatoingia watu wengine zaidi ya waliofunga na wakimaliza kuingia tu utafungwa na hatoingia mtu mwengine.'

Imepokewa na Bukhaari na Muslim
Swaumu zetu zitakubaliwa na Allaah Subhaaanu wata'ala endapo tutafunga kwa ajili ya kupata radhi zake Subhaana tu huku tukiwa na Ikhlaas iliyokamilika katika nafsi zetu 

Ewe Mola tutakabalie Swaumu zetu na utujaalie miongoni mwa watakaoingia katika pepo yako ya Firdaus kupitia mlango wa Rayyaan.
Aamiyn

1 comment:

  1. ikiwa vipato vyetu ni vya haramu , kufunga ni bure tu ndugu zangu ,

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.