“KIBAMBA YA KISASA YAJA: KAIRUKI AAHIDI BARABARA, MAJI, ELIMU BORA NA AFYA
IMARA KWA WOTE.
-
Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Kibamba Anjela Kairuki amewahakikishia
wananchi wa mbezi kuwa barabara inayotokea mbezi kupitia mpiji magohe hadi
bu...
1 hour ago
hivi JK kwani lazima upeleke majeshi yetu nchi za kigeni? huachi kimbelembele bado haya yaliyotukuta hayajatosha , basi kama bado naomba uwapeleke ndugu zako kwanza kuwa mstari wa mbele kwenye kulinda amani, tangu lini amani ikalindwa na wageni , sisi kule sudani ni wageni tu hata ufanye vipi
ReplyDelete