Habari za Punde

Viongozi wetu walivyomlaki Rais Barack Obama leo

8E9U8352

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akisalimiana na Rais wa Marekani Barack Obama wakati alipowasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Dar leo
8E9U8357
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Kikwete akimtambulisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein kwa Rais wa Marekani Barack Obama
8E9U8374
Makamu wa pili wa Rais , Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Rais wa Marekani Barack Obama wakati alipowasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Dar leo
8E9U8382
Spika wa Baraza la wawakilishi , Zanzibar Pandu Ameir Kificho akisalimiana na Rais wa Marekani Barack Obama wakati alipowasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Dar leo

1 comment:

  1. Mzee wetu sijui atakua anaongea nini na Obama?...inasemekana ana Diploma ya sheria ya mzumbe ya enzi zileeeee za IDM.

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.