Miradi ya maendeleo miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar ni Uimarishaji wa miundombinu ya barabara mbalimbali Kisiwani Pemba kutowa huduma ya ufanisi kwa watumiaji wa barabara hizo na kuleta urahisi wa kusafirisha mazao mashambani hadi mjini, kama inavyoonekana barabara hii ya Finya mzambarau takawa kuelekea barabara za Micheweni,Konde
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
1 hour ago
NAONA HAYO MATUNDA MAPINDUZI YASHAOZA KAKA HIYO BARABARA HAINA HATA ALAMA Z BARABARA ,HATA CHAKI BASI INAYO ONESHA UPANDEMMOJA WA BARABARA ????MPITA MIGUU APITE WAPI ,WENYWE BAISKELI APITE WAPI ,,,, AU KWA VILE IMETIWA LAMI NDO BARABARA ,,,,ACHENI KUDANGANYA WATUUUUUUUUU
ReplyDeleteBarbara nzuri Sana. Tuhongere. Mungu ibariki Zanzibar. I love it!!!
ReplyDelete