Miradi ya maendeleo miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar ni Uimarishaji wa miundombinu ya barabara mbalimbali Kisiwani Pemba kutowa huduma ya ufanisi kwa watumiaji wa barabara hizo na kuleta urahisi wa kusafirisha mazao mashambani hadi mjini, kama inavyoonekana barabara hii ya Finya mzambarau takawa kuelekea barabara za Micheweni,Konde
DKT JAKAYA KIKWETE AMPONGEZA MHITIMU UDSM KWA KUVUNJA REKODI YA MIAKA 32
KWA KUPATA DARAJA LA KWANZA LAW SCHOOL
-
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Rais Mstaafu Wa Awamu ya Nne Dkt
Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Mhitimu wa Shahada ya Awali ya Sheria
ambaye aliv...
5 hours ago

NAONA HAYO MATUNDA MAPINDUZI YASHAOZA KAKA HIYO BARABARA HAINA HATA ALAMA Z BARABARA ,HATA CHAKI BASI INAYO ONESHA UPANDEMMOJA WA BARABARA ????MPITA MIGUU APITE WAPI ,WENYWE BAISKELI APITE WAPI ,,,, AU KWA VILE IMETIWA LAMI NDO BARABARA ,,,,ACHENI KUDANGANYA WATUUUUUUUUU
ReplyDeleteBarbara nzuri Sana. Tuhongere. Mungu ibariki Zanzibar. I love it!!!
ReplyDelete