Habari za Punde

Viongozi wa Wazazi Wamtembelea Komandoo Dkt Salmin.


 Rais Mstaaf wa Awamu ya Tano wa Serekali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt. Salmin Amour Juma (Komandoo) akizungumza na Viongozi wa Jumiya ya Wazazi Tanzania walipofika nyumbani kwake kumtembelea na kujua hali yake.  
 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Abdalla Bulembo, akizungumza katika ziara ya kumtembelea Rais Mstaaf wa Zanzibar Dkt. Salmin nyumbani kwake migombani Zanzibar. 
 Makamo Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi  Dogo Mabrouk akizungumza katika mkutano huo na Dkt.Salmin nyumbani kwake migombani 

                      Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi  Najma Murtaza Giga


Rais Mstaaf wa Awamu ya Tana Dk. Salmini Amour Juma, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania, walipofika kumtembelea na kuzungumza nae nyumbani kweke Migombani Zanzibar.  

6 comments:

  1. yupo kumbe huyu mzee mi hata nishamsahau

    ReplyDelete
  2. kumbe yupo huyo mzee mi nilikua nishamsahau .ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka

    ReplyDelete
  3. mi nilikua nishamsahau huyu mzee bado yupo ngoma ikivuma sana mwisho hupasuka

    ReplyDelete
  4. Aiseee basi hata kiti habadilishiwi kibovu namna hio

    ReplyDelete
  5. Kiti kishaoza hicho

    ReplyDelete
  6. Jamani mbadilishieni kiti ni aibu kwa mstaafu kukalia kiti kibovu kama hicho

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.