Wanafunzi wa PhD wa Shanghai International Studies University wakiwa katika kikao cha mwisho cha pati ya kumaliza muhula wa masomo 2013,Jijini Shanghai.aliyesimama ni Mwanafunzi kutoka Zanzibar Idara ya Habari Maelezo Muandishi wa Habari Muandamili Juma Mohammed,akizungumza katika hafla hiyo ya kumaliza masomo yao ya muhula wa masomo kwa mwaka wa 2013. wakipongezana kwa kumaliza muhula huu kwa amani na afya njema
DKT. TULIA ACKSON AACHIA MBIO ZA USPIKA WA BUNGE LA TANZANIA
-
Dkt.Tulia Ackson ametangaza kujiondoa rasmi katika kugombea nafasi ya
Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha
Mapinduzi (CCM...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment