Wanafunzi wa PhD wa Shanghai International Studies University wakiwa katika kikao cha mwisho cha pati ya kumaliza muhula wa masomo 2013,Jijini Shanghai.aliyesimama ni Mwanafunzi kutoka Zanzibar Idara ya Habari Maelezo Muandishi wa Habari Muandamili Juma Mohammed,akizungumza katika hafla hiyo ya kumaliza masomo yao ya muhula wa masomo kwa mwaka wa 2013. wakipongezana kwa kumaliza muhula huu kwa amani na afya njema
MIAKA 30 YA OCEAN ROAD ILIVYOFUFUA MATUMAINI YA KUISHI KWA MAMILIONI YA WATU
-
NI miaka 30 tangu kuanzishwa kwa Taasisi ya Saratani nchini Tanzania (Ocean
Road). Kuanzishwa kwake kumeleta matumaini ya kuendelea kuishi kwa
mamilioni ...
5 hours ago

0 Comments