Wanafunzi wa PhD wa Shanghai International Studies University wakiwa katika kikao cha mwisho cha pati ya kumaliza muhula wa masomo 2013,Jijini Shanghai.aliyesimama ni Mwanafunzi kutoka Zanzibar Idara ya Habari Maelezo Muandishi wa Habari Muandamili Juma Mohammed,akizungumza katika hafla hiyo ya kumaliza masomo yao ya muhula wa masomo kwa mwaka wa 2013. wakipongezana kwa kumaliza muhula huu kwa amani na afya njema
MNZAVA AWASIHI MADIWANI NA WENYEVITI WA VIJIJI KUSHIRIKIANA KUTATUA
MIGOGORO YA ARDHI
-
*Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mhe. Timontheo Mnzava, amewataka
madiwani na wenyeviti wa vijiji kushirikiana kwa karibu katika kutatua
migogoro...
6 hours ago

0 Comments