Wanafunzi wa PhD wa Shanghai International Studies University wakiwa katika kikao cha mwisho cha pati ya kumaliza muhula wa masomo 2013,Jijini Shanghai.aliyesimama ni Mwanafunzi kutoka Zanzibar Idara ya Habari Maelezo Muandishi wa Habari Muandamili Juma Mohammed,akizungumza katika hafla hiyo ya kumaliza masomo yao ya muhula wa masomo kwa mwaka wa 2013. wakipongezana kwa kumaliza muhula huu kwa amani na afya njema
WAZIRI MCHENGERWA ATOA MIAKA MITATU OCEAN ROAD, WAGONJWA WA SARATANI
KUTIBIWA NCHINI
-
Na WAF, Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, ameipa Bodi ya Taasisi ya Saratani
ya Ocean Road (ORCI) muda wa miaka mitatu kuhakikisha h...
1 minute ago

0 Comments