Mdau mambo ya juice imeshaaza PBA baada ya msimu wa matunda ya mabungo kuazi kisiwani Pemba na kicha kimoja kwa sasa huuzwa kati ya shilingi 1000/= na 2500/=. yakiwa katika moja ya kituo cha biashara hiyo meli sita ni maarufu kwa biashara hiyo kisiwani Pemba Wilaya ya Chakechake.
MATUKIO; ASKARI WAWILI WAJERUHIWA AJALI YA MOTO MLANDIZI
-
Na Khadija Kalili, Michuzi Tv
ASKARI wawili wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji wamejeruhiwa wakiwa katika
harakati za kuokoa marehemu waliokuwa wamenasia kweny...
55 minutes ago
No comments:
Post a Comment