Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe 92 kutoka jimbo la Ludewa mkoani Njombe ambao ni wenyeviti kata na makatibu kata wa CCM kutoka kata zote 25 za jimbo la Ludewa na viongozi wa wilaya wa chama hicho ambao leo Juni 16, 2014 wanahitimisha ziara ya siku nne ya mafunzo mjini Dodoma na Dar es Salaam. Wajumbe hao pamoja na Mbunge wa jimbo la Ludewa Mhe Deo Filikunjombe walifika Ikulu kumtembelea Rais. (Picha na Ikulu)
WIZARA YA NISHATI KUJA NA MPANGO WA KUNADI VITALU VYA UTAFUTAJI WA GESI NA
MAFUTA NCHINI
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulia Mafuta na Gesi Dkt
James Mataragio akizungumza wakati alipofungua Kikao cha Pili cha Mkutano
wa Pil...
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment