Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais
wa Zanzibar
Mhe. Mohammed Aboud Mohammed, akifunguwa Warsha ya Kuwajengea Uelewa wa
Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi (PWP) katika mpango wa Taifa wa Kunusuru Kaya
Masikini Tanzania ,
ilioandaliwa na TASAF Taifa. Iliofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi
Zanzibar .
WASHIRIKI wa Warsha ya Warsha ya Kuwajengea
Uelewa wa Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi (PWP) katika mpango wa Taifa wa
Kunusuru Kaya Masikini Zanzibar wakimsikiliza Mkurugenzi wa Program wa Tasaf
Ndg. Amadius Kamangenge, akitowa maelezo
ya Mradi TASAF.wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo. Yaliofanyika katika ukumbi
mdogo wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa
Rais Zanzibar Ndg. Ahmad Kassim, akitowa maelezo ya mafanikio ya Mradi wa Tasaf
Zanzibar wakati wa ufunguzi wa Warsha ya kuwajengea Uelewa wa Utekelezaji wa
Mradi wa (PWP)
Maofisa wa Mradi wa TASAF Tanzania wakifuatilia ufunguzi
wa Warsha ya Utekelezaji wa Mradi Utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya
Ujenzi ambayo pia itawanufaisha
walengwa wa mpango wa kunusuru kayacmasikini
Tanzania. Wakati Waziri Aboud akifungua semina hiyo katika ukumbi mdogo wa
baraza la wawakilishi chukwani Zanzibar .
Mkurugenzi Uratibu wa Shughuliza Serekali Zanzibar, Ndg Issa
Ibrahim Mahmoud, akitiwa maelezo ya Ufunguzi wa Warsha ya Kuwajengea Uelewa wa
Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi (PWP) katika mpango wa Taifa wa Kunusuru Kaya
Masikini Tanzania unaotekelezwa na TASAF, uliofanyika katika ukumbib mdogo wa
Baraza la Wawakilishi Chukwani. Kushoto kwake Mkurugenzi wa Program wa TASAF
Ndg Amadius Kamangenge akifuatiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa
Rais Mhe Mohammed Aboud. Mohammed.
WASHIRIKI wa Warsha ya Warsha ya Kuwajengea
Uelewa wa Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi (PWP) katika mpango wa Taifa wa
Kunusuru Kaya Masikini Zanzibar wakimsikiliza Mkurugenzi wa Program wa Tasaf
Ndg. Amadius Kamangenge, akitowa maelezo
ya Mradi TASAF.wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo. Yaliofanyika katika ukumbi
mdogo wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar
Mkurugenzi wa Program wa TASAF Ndg Amadius Kamangenge,
akitowa maelezo ya Utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya Ujenzi ambayo pia itawanufaisha walengwa wa mpango wa kunusuru kayacmasikini Tanzania .
WASHIRIKI wa Warsha ya Warsha ya Kuwajengea Uelewa
wa Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi (PWP) katika mpango wa Taifa wa Kunusuru
Kaya Masikini Zanzibar wakimsikiliza Mkurugenzi wa Program wa Tasaf Ndg.
Amadius Kamangenge, akitowa maelezo ya Mradi
TASAF.wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo. Yaliofanyika katika ukumbi mdogo wa
Baraza la Wawakilishi Zanzibar .
Maofisa wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania
TASAF,kutoka kushoto Ndg. Abass Saleh, Bi .Mary Kiula na Ndg. Geofrey
Nyamwihula, wakijadiliana jambo wakati wa ufunguzi wa Warsha ya Kuwajengea
Uelewa wa Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi (PWP) katika mpango wa Taifa wa
Kunusuru Kaya Masikini Tanzania,
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Pili wa Rais wa Zanzibar
Mhe. Mohammed Aoud Mohammed, akiwa katika picha na Maofisa wa Idara za Serekali ya Mapinduzi Zanzibar, baada ya ufunguzi wa Warsha ya Warsha ya Kuwajengea Uelewa wa
Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi (PWP) katika mpango wa Taifa wa Kunusuru Kaya
Masikini Tanzania, ilioandaliwa na TASAF Taifa. Iliofanyika katika ukumbi wa
Baraza la Wawakilishi Zanzibar .
Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Pili wa Rais wa Zanzibar
Mhe. Mohammed Aoud Mohammed, akiwa katika picha na Maofisa wa Mfuko wa
Maendeleo ya Jamii Tanzania (TASAF) baada ya ufunguzi wa Warsha ya Warsha ya Kuwajengea Uelewa wa
Utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi (PWP) katika mpango wa Taifa wa Kunusuru Kaya
Masikini Tanzania, ilioandaliwa na TASAF Taifa. Iliofanyika katika ukumbi wa
Baraza la Wawakilishi Zanzibar .
No comments:
Post a Comment