Habari za Punde

Dk Shein Ahudhuria Sherehe za Miaka 50 ya Elimu Bila Malipo Viwanja vya Amaan Leo.a miaka 6

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia mkono wanafunzi waliopita mbele ya jukwaa la viongozi katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar wakati wa sherehe za kilele cha miaka 50 ya Elimu bila Malipo zilizofanyika leo.
 Wanafunzi wa Skuli ya wanawake ya Al- Ihsaan ya Magogoni Jitmai wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akipokea maandamano ya wanafunzi wa skuli mbali mbali za Unguja na Pemba katika sherehe za miaka 50 ya Elimu bila malipo zilizofanyika kitaifa katika uwanja wa Amaan Studium leo
Wanafunzi wa Chuo cha Ufundi JKU wakipita mbele  ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akipokea maandamano ya wanafunzi wa skuli mbali mbali za Unguja na Pemba katika sherehe za miaka 50 ya Elimu bila malipo zilizofanyika kitaifa katika uwanja wa Amaan Studium leo
Wanafunzi wenye ulemavu  tofauti wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein kwa maandano wakati wa sherehe za  miaka 50 ya Elimu bila Malipo zilizofanyika katika uwanja wa amaan Studium

Walimu na Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  wakati wa  maandamo ya kusherehekea kilele cha miaka 50 ya Elimu bila malipo ilizofanyika katika uwanja wa amaan Studium
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Walimu na Wanafunzi katika Sherehe za Miaka 50 ya Elimu bila malipo zilizofanyika kitaifa katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja leo
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi kombe Msaidizi Afisa Elimu Mkoa wa Kaskazini Unguja Maulid Nafasi Juma wakati wa  Sherehe za Miaka 50 ya Elimu bila malipo zilizofanyika kitaifa katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja leo
Baadhi ya wanafunzi wa Skuli mbli mbli za Sekondari wakiwa katika jukwaa wakati wa sherehe za Miaka 50 ya Elimu bila malipo zilizofanyika kitaifa katika Uwanja wa Amaan Studium 
Baadhi ya Viongozi waliohudhuria katika sherehe za miaka 50 ya Elimu bila Malipo zilizofanyika katika uwanja wa Amaan Studium na mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Baadhi ya walimu wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  wakati alipokuwa akizungumza na Walimu, Wazee,Wanafunzi katika  sherehe za kilele cha miaka 50 ya Elimu bila Malipo zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar(Picha na Ramadhan Othman Ikulu)









No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.