Pamoja na Wananchi kutakiwa kuweka fedha zao Benki lakini bado kuna Wananchi wana tabia ya kuweka fedha katika mazingira yasio salama, pichani ni baadhi ya fedha zilizoharibika kwa kuwekwa katika mazingira yasio salama huko Kisiwani Pemba.
SERIKALI KUENDELEA KUDHIBITI ATHARI ZA MICHEZO YA KUBAHATISHA
-
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akijibu swali bungeni
jijini Dodoma.
(*Picha na Kitengo cha Mawasiliano Wizara ya Fedha, Dodoma*)
...
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment