Habari za Punde

Mkutano wa Kwanza wa Kimataifa wa AATO Wafanyika Zanzibar.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)Ndg, Mbwana J.Mbwana akifungua Mkutano wa Umoja wa Vyuo vya Usafiri wa Anga Barani Afrika, akihutubia wakati wa ufunguzi huo wa mkutano wa kwanza wa Umoja huo uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar. 
Rais wa Umoja wa Vyuo vya Usafiri wa Anga Barani Afrika Ndg. Tchagbele Sadamba, akizungumza na kutowa maelezo ya Umoja huo wakati wa Ufunguzi wa Mkutasno wa Kwanza uliotayarishwa na Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.
Afisa wa Civil Avation Training Centre Bi Margareth Kyarwenda akizungumza katika  mkutano huo kuhusiana na mafunzo yanayotolewa na Vyuo vya Usafiri wa Anga Barani Afrika, wakati wa ufunguzi wa mkutano huo uliofanyika katika hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar na kushiriki Nchi wanachama wa Umoja huo barani Afrika. 
Washiriki wa Mkutano wa kwanza wa Umoja wa Vyuo vya Usafiri wa Anga Barani Afrika wakimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya TCAA, akifungua mkutano huo Zanzibar. 

Mwakilishi wa ICAO/ESAF Ndg.Eyob Estifanor, akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano huo uliofunguliwa na Mwenyekiti wa Bodi ya TCAA.Tanzania, katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Ocean View. 
Afisa wa kutoka EAC, Ndg. Eric Ntangengewa akizungumza katika mkutano huo wa kwanza wa AATO, uliofanyika Zanzibar katika hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.
Wajumbe wakifuatilia mkutano huo kwa makini wakati wa ufunguzi wake uliofanyika hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.
Wajumbe wa Mkutano wa AATO kutoka Tanzania wakiwa makini kufuatilia michango iliokuwa ikiwakiliwashwa baada ya ufunguzi wake uliofanyika Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar. 
                     Wajumbe kutoka Nchini Ethiopia wakifuatilia mkutano huo






No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.