Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Sihaba Nkinga akiongea na baadhi ya Watumishi wapya wa Wizara katika ufungaji wa mafunzo elekezi yaliyofanyika jijini Dar es Salaam ambapo aliwaasa kuwa na maadili katika utendaji wao wa kazi.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana,
Utamaduni na Michezo Bi Sihaba Nkinga katikati akiongea na Mkurugenzi wa
Maendeleo ya Vijana Bw. Leonard Thadeo kulia na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni
Prof. Hermens Mwansoko kushoto mara baada ya kufunga mafunzo elekezi kwa
watumishi wapya wa Wizara
No comments:
Post a Comment