Habari za Punde

Rais Dk.Shein atembelea Benki ya Damu Salama

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifutana na Meneja wa  Kituo cha Damu Salama Dk.Mwanaheri Mahmoud Ahmed (kulia) katika chumba maalum alipotembelea katika Ofisi za Kituo hicho Sebleni Nyumba za Wazee Mjini Zanzibar leo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiangalia Damu Salama zilizohifadhiwa katika mashine maalum akiwa na Aaza Humud katika chumba maalum alipotembelea katika Ofisi za Kituo hicho Sebleni Nyumba za Wazee Mjini Zanzibar leo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifutana na Meneja wa  Kituo cha Damu Salama Dk.Mwanaheri Mahmoud Ahmed (kulia) katika chumba maalum alipotembelea katika Ofisi za Kituo hicho Sebleni Nyumba za Wazee Mjini Zanzibar leo. 

Mkuu wa maabara ya kuchunguza maradhi mbali mbali Msafiri L.Marijani  akitoa maelezo kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) wakati alipotembelea Maabara katika Hospitali ya Mnazi mmoja leo Mjini
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akizungumza na wafanyakazi wa Kituo cha Damu Salama kiliopo Sebleni Nyumba za Wazee Mjini Zanzibar leo alipofanya ziara fupi
Afisa Mhamasishaji wa Kituo cha Damu Salama Omar Said Omar (kulia) akitoa mchango wake wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipozungumza na wafanyakazi  wa kituo hicho alipofanya ziara maalum ya kutembelea kuangalia maendeleo ya utendaji kazi Sebleni Nyumba za Wazee Mjini Zanzibar leo(Picha na Ramadhan Othman Ikulu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.