MENEJA wa hoteli
ya ‘Manta resort’ ya Makangale wilaya ya Micheweni Pemba, Mathewa Saus,
akiwafahamisha wanafunzi na waalimu wa skuli za sekondari za mkoa wa kusini
Pemba, namna ya ujenzi wa chumba cha chini ya maji ya bahari kinavyofanya kazi,
kwenye ziara maalumu ilioandaliwa na kamisheni ya utalii Pemba(picha na Haji Nassor, Pemba)
MATUKIO; ASKARI WAWILI WAJERUHIWA AJALI YA MOTO MLANDIZI
-
Na Khadija Kalili, Michuzi Tv
ASKARI wawili wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji wamejeruhiwa wakiwa katika
harakati za kuokoa marehemu waliokuwa wamenasia kweny...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment