Habari za Punde

Waziri Fatma Akabidhi Vifaa kwa Watu Wenye Ulemavu Pemba.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar,Mhe. Fatma Abdulhabib Ferej,akimkabidhi msaada mmoja wa Watu wenye ulemavu Kisiwani Pemba vifaa vya kutembelea  makabidhiano hayo yamefanyika katika viwanja vua Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Chakechake Pemba.
(Picha na Ussi Faki-Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.