MRATIBU wa kituo cha huduma za sheria
Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Fatma Hemed Khamis akielezea umuhimu wa mafunzo ya
kuwakumbusha sheria za ajira Zanzibar, wahitimu wa wasaidizi wa sheria wa
majimbo kdahaa kisiwani humo, ambao wamepatiwa taaluma hiyo na ZLSC, kulia ni
Afisa Mipango wa kituo hicho sheikh Khalfan Amour na kushoto ni mtoa mada
mwanasheria Omar Hemed (picha na Haji Nassor, Pemba)
WASAIDIZI wa sheria wa majimbo kadhaa kisiwani Pemba, ambao ni wahitimu wakimsikiliza mtoa mada ambae ni Afisa Mipango wa kituo cha huduma za sheria Pemba Safia Saleh Sultan (hayupo pichani), kwenye mafunzo ya kuwakumbusha sheria za ajira Zanzibar, mafunzo yaliofanyika kituoni hapo (picha na Haji Nassor, Pemba)
MWANASHERIA Omar Hemed akiwasilisha
mada juu ya haki za binaadamu, mbele ya wahitimu wasaidizi wa sheria wa majimbo
kadhaa kisiwani Pemba, yaliondaliwa na kituo cha huduma za sheria Pemba, kulia
ni afisa mipango wa kituo hicho, sheikh Khalfan Amour na katikati ni Mratibu wa
ZLSC Pemba, Fatma Hemed Khamis (picha na Haji Nassor, Pemba)
No comments:
Post a Comment