GARI ya Kampuni ya Mecco ikimwaga lami katika
mashine maalumu ya kuchawanyia lami hiyo, katika barabara ya Konde-Wete kama
wanavyoonekana wafanyakazi wa kampuni hiyo wakiwa kazini.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
GARI maalumu ya kutandazia lami ya kampuni ya Mecco,
ikiwa kkazini katika barabara ya Konde-Wete, kama inavyoonekana kazi hiyo ikiwa
inaendelea kwa kasili, ili kukamilika kwa barabara hiyo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
GARI maalumu ya kuweka sawa lami kutoka katika
kampuni ya Mecco ikiweka lami hiyo, katika barabara ya Konde-Wete kama
ilivyokutwa na mpiga picha.(Picha na
Abdi Suleiman, PEMBA.)
MAKAMO wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif
Ali Iddi akipata maelekezo ya hali ya uwekaji wa lami katika barabara ya Konde-
Wete, kutokana kwa msimamizi wa Ujenzi wa Kampuni hiyo Abdulkadir Mohammed
Bujet, wakati alipotembelea na kuangalia hali ya barabara hiyo inavyokwenda.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
No comments:
Post a Comment