MJUMBE wa kamati kuu ya Halmashauri kuu ya CCM
Taifa, Mhe:Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Mkoani Mhe:
Hemed Suleiman Abdalla, wakati alipowasili katika Ujenzi wa Tawi la CCM cha
Milimuni Jimbo la Mkanyageni Wilaya ya Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya CCM
Taifa, Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, akiweka sawa tufali katika tawi la CCM
Milimuni jimbo la mkanyageni Wilaya YA Mkoani, kuashiria uzinduzi wa tawi
hilo, kushoto ni mkuu wa Wilaya hiyo Mhe: Hemed Suleima Abdalla.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya CCM
Taifa, Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, akiweka utogo kuashiria kuyafunga matufali
katika Tawi la CCM Milimuni, wakati wa uzinduzi
wa ujenzi wa tawi hilo, Jimbo la Mkanyageni Wilaya ya Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya CCM
Taifa, Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, akiwaonyesha wanaCCM katiba iliyopendekezwa ambayo
wanapaswa kuipigia kura ya ndio, mara baada ya kuzindua ujenzi wa Tawi la CCM
milimuni jimbo la Mkanyageni Wilaya ya Mkoani. (Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MAKAMO wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif
Ali Iddi, akikunjuwa kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi ofisi ya
Polisi Jamii shehia ya Chambani, Wilaya ya Mkoani Mkoa wa kusini Pemba. (Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MAKAMO wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif
Ali Iddi, akikaguwa ujenzi wa ofisi ya Polisi Jamii Shehia ya Chambani Wilaya
ya Mkoani Mkoa wa kusini Pemba. (Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment