Habari za Punde

Balozi Seif aweka jiwe la Msingi Maktaba Kuu , Chakechake

 
MAKAMO wa pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, akikunjuwa kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi maktaba kuu ya chake chake Pemba, ikiwa ni shamra shamra za miaka 51 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 
MKUU wa makoa wa kusini Pemba, Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla akizungumza na wanafunzi,walimu na wananchi wa Chake Chake, mara baada ya kuwekewa jiwe la msingi maktaba kuu ya Chake Chake.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 
NAIBU waziri wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe:Zahra Ali Hamad, akizungumza na wanafunzi walimu na wananchi wa Chake Chake, mara baada ya kuwekewa jiwe la msingi maktaba kuu ya Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

MAKAMO wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, akizungumza na wananchi wa Chake Chake mara baada ya kuiwekea jiwe la msingi maktaba kuu ya Pemba .(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.