WASHIRIKI wa mafunzo wa siku tatu juu ya usafi
wa mazingira, yalioandaliwa na Jumuia ya Vijana Jimbo la Kojani ‘KOYMOCC’ wilaya
ya Wete Pemba na kufanyika skuli ya kisiwa cha Kojani, ambapo tayari hali ya
usafi wa mazingira kisiwani humo imeimarika baada ya kumalizika kwa mradi huo
wa mwaka mmoja, (Picha na Haji Nassor,
Pemba).
MSHIRIKI wa mafunzo ya usafi wa mazingira kutoka Kisiwa
cha Kojani wilaya ya Wete Pemba Ali Hamad Dau, akichangia jambo kwenye mafunzo
hayo yalioandaliwa na Jumuia ya Vijana Jimbo la Kojani ‘KOYMOCC’ ambapo mradi
huo wa mwaka mmoja, tayari wananchi zaidi ya 700 wameshapewa taaluma ya usafi
wa mazingira, (Picha na Haji Nassor,
Pemba).
MWENYEKITI wa Jumuia ya Vijana Jimbo la Kojani ‘KOYMOCC’ wilaya ya wete
Pemba, Bakar Suleiman Juma, akielezea mafanikio ya mradi wa usafi wa mazingira,
uliokuwa chini ya KOYMOCC, ambapo umekiimarisha kiusafi kisiwa cha Kojani,
sambamba na kuwapa elimu hiyo wananchi zaidi ya 700 wa shehia za Kojani na
Mpambani, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment