Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh kulia akipata Maelezo kutoka kwa
Maafisa wa Shirika la Taifa la Biashara Zanzibar ( ZSTC) Sabra Shehe na Mussa Abdullah
wakati Balozi huyo alipofanya ziara ya kuwatembelea Watanzania hao wanaoshiriki
Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa
Mascut nchini humo
Wasanii wa Fani ya Uchoraji Tanzania Fred Halla na Salum Ameir Muchi wakimkabidhi
Ua kama zawadi Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh kulia wakati Balozi
huyo alipofanya ziara ya kuwatembelea Watanzania hao wanaoshiriki Maonesho ya
Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa Mascut
Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh akisalimiana na Mbunifu wa Mavazi
(Designer) Farida Amiri wakati Balozi huyo alipofanya ziara ya kuwatembelea Watanzania
hao wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea
katika Mji wa Mascut nchini humo
Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh kulia akitoa nasaha zake kwa
Wasanii wa Fani ya Uchongaji Tanzania.Kutoka kushoto Iddi Amana, Mwandale
Mwanyikwa(Big Mama)na Abdulrahman Abdulla mara baada ya Balozi huyo kuwatembelea
Watanzania hao wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni
yanayoendelea katika Mji wa Mascut nchini humo
Msanii wa Sanaa ya Ufumaji Bi Mtumwa Omar Bakar akifurahia jambo na
Balozi waTanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh kulia mara baada ya Balozi huyo
kuwatembelea Watanzania wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na
Msanii wa Sanaa ya Mapambo mbalimbali kutoka Tanzania Rahma Juma
(Kushoto)akifurahia jambo na Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh
(kulia) mara baada ya Balozi huyo kuwatembelea Watanzania wanaoshiriki Maonesho ya
Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa Mascut nchini
humo katikati ni Mshiriki mwingine Masika Mohame
Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh kulia akipata Maelezo kutoka kwa
Wajasiriamali wa Bidhaa za Viungo mbalimbali ikiwemo Karafuu kutoka kushoto ni Kulthum
Mohamed na Saumu Abdalla na Mke wa Balozi huyo.Balozi Saleh alifanya ziara ya
kuwatembelea Watanzania hao wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na
Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa Mascut
Msanii wa Kuchora Katuni nchini Tanzania Maarufu kama Tingatinga kushoto Mussa
Suleiman Augosi akipokea nasaha kutoka kwa
Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh kulia..Balozi Saleh alifanya ziara ya
kuwatembelea Watanzania hao wanaoshiriki
Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa
Mascut
Mjasiriamali wa Mavazi mbalimbali ikiwemo ya Kimasai Bi Anna Matinde akitoa ufafanuzi
wa bidhaa zake kwa Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh kulia.Balozi
Saleh alifanya ziara ya kuwatembelea Watanzania hao wanaoshiriki Maonesho ya
Kimataifa
ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa Mascu
Mjasiriamali wa Mapambo mbalimbali ya ndani Khadija Faraji akitoa ufafanuzi wa bidhaa zake kwa Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh kulia. Katikati ni Mke wa Balozi huyo.Balozi Saleh alifanya ziara ya kuwatembelea Watanzania hao wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa Mascut
Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh akibadilishana Mawazo na baadhi
ya Watanzania Mavazi wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na
Utamaduni yanayoendelea katika Mji wa Mascut nchini humo kutoka kulia ni Mkuu Msaidizi
wa Msafara Masha Hussein, Bi Anna Matinde na Mkuu wa mambo ya kiufundi wa Msafara
Bi Moza Habib. Balozi Salehe alifanya ziara ya kuwatembelea katika Maonesho hayo.
Balozi wa Tanzania Nchini Oman Bw. Ali Ahmed Saleh mwenye Koti Jeusi akifurahia
jambo na Wapishi wa Mashi ya Kitanzania mara baada ya Balozi huyo kuwatembelea
Watanzania hao wanaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni
yanayoendelea katika Mji wa Mascut nchini humo katikati ni Mshiriki mwingine Masika
Mohamed. Picha na Faki Mjaka-Mascut Oman.
No comments:
Post a Comment