WAANDISHI wa Habari kutoka vyombo mbali mbali vya
habari, wakizungumza na Mwenyekiti wa Kamati ya Utalii Wilaya ya Micheweni,
Mhe:Dawa Juma Mshindo huko Micheweni Wilaya ya Micheweni Kisiwani Pemba.(Picha na Hanifa Salim, Pemba)
MJUMBE wa kamati ya Utalii Wilaya ya Micheweni, Said
Othman Kombo akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali vya
habari, juu ya hali ya Utalii Wilaya hiyo.(Picha
na Hanifa Salim, Pemba)
KATIBU wa kikundi cha Ushirika wa kilimo Hgnc Fruit
and Spice kilichopo Bwagamoyo Mtambwe, Bakari Mshamata akiwaonyesha waandishi
wa habari kutoka vyombo mbali mbali vya habari Zanzibar, moja kati ya miti ya
viungo vilivyomo ndani ya shamba lake.(Picha
na Hanifa Salim, Pemba)
KATIBU wa kikundi cha Ushirika wa kilimo Hgnc Fruit
and Spice kilichopo Bwagamoyo Mtambwe, Bakari Mshamata akizungumza na waandishi
wa habari kutoka vyombo mbali mbali vya habari, juu ya kikundi chake
kinachojishuhulisha na ulimaji wa viungo mbali mbali, huko Bwagamoyo Mtambwe
Wilaya ya Wete Pemba.(Picha na Hanifa
Salim, Pemba)
No comments:
Post a Comment